- 1,440 views
Serikali imetoa tahadhari kwa maelfu ya wakenya wanaoishi karibu na mito na maeneo yaliyo chini katika kaunti 16 nchini. Wakaazi wa maeneo haya sasa wakiagizwa kuhamia sehemu za juu huku wizara ya usalama sasa ikisema tayari bwawa la masinga limejaa na kuanza kutoa maji zaidi. Haya yakijiri huku familia 22 katika eneo la Kibera na zingine 11 kaunti ya Kirinyaga pia zimeathirika na mafuriko
Serikali yaagiza wanaoishi karibu na mito kuhama
- - Duniani Leo ››
- 21 May 2024 - Operators of small boats and crafts in Kenya’s Coastal region have been urged to keep off deep-sea areas.
- 21 May 2024 - Suba North Member of Parliament Millie Odhiambo has expressed concern over increased cases of hippo attacks and killings in several beaches within Homa Bay County.
- 21 May 2024 - Tanzania's weather authorities warn of strong winds, waves in Indian Ocean
- 21 May 2024 - 409 migrants rescued off Libyan coast in past week
- 21 May 2024 - The advisory issued by Kenya Met covers the next seven days.
- 21 May 2024 - Julian Assange wins High Court victory in case against extradition to U.S
- 21 May 2024 - The stabbed man died of bleeding moments later, police said.
- 21 May 2024 - Iran to hold presidential election on June 28
- 21 May 2024 - Mideast countries offer condolences over deaths of Iranian president, FM
- 21 May 2024 - Trump is charged with 34 felony counts of falsifying business records.