- 1,804 views
Rais William Ruto sasa amempa waziri wa uchukuzi Kipchumba Murkomen mwaka mmoja kuhakikisha kuwa ajali za barabarani nchini zinapungua. Akizungumza katika uzinduzi wa kanuni mpya za usalama wa barabarani hii leo, Rais Ruto alisema kuwa ni jukumu la wizara ya uchukuzi kukaza kamba katika utekelezwaji wa kanuni za usalama ili kupunguza maafa barabarani. Haya yanajiri huku takwimu za hivi punde zikiashiria kuwa zaidi ya watu elfu moja wamepoteza maisha katika muda wa miezi minne iliyopita. Kanuni zilizozinduliwa hii leo zinashirikisha matumizi ya teknolojia barabarani
Rais Ruto ampa mwaka mmoja Waziri Murkomen kuwajibika
- - Duniani Leo ››
- 7 Aug 2025 - While scientists present compelling evidence of GMOs' potential to address chronic food insecurity, deep public skepticism persists
- 7 Aug 2025 - Some are lobbying using all means possible to have their contracts extended by at least another year.
- 7 Aug 2025 - County speaker has been fending off concerns of the governor's absence, insisting that services were running smoothly
- 7 Aug 2025 - Perks war centred on judges demand for enhanced retirement rewards
- 7 Aug 2025 - All saccos must file returns, and borrowings must be approved by the commissioner
- 7 Aug 2025 - The President will flag off the distribution of the equipment to health facilities
- 7 Aug 2025 - CoG vice chairman Mutahi Kahiga who says that counties are yet to receive their allocations despite the government pronouncement that they are allocated 410 billion Shillings in the 2025/26 budget.
- 7 Aug 2025 - Kenya’s healthcare system is once again staring at a looming crisis after KMPDU issued a 14-day strike notice over what it terms as blatant disregard of signed agreements by both the national and county governments.
- 7 Aug 2025 - UN rights chief Volker Turk on Wednesday denounced the Rwanda-backed M23 militia, which he said had killed at least 319 civilians in eastern Democratic Republic of Congo in July.
- 7 Aug 2025 - Israel's military will have to execute any government decisions on Gaza, the defence minister said Wednesday after reported disagreements over the prospect of a full occupation of the Palestinian territory.