- 129 views
Serikali imesema itashirikiana na maafisa wa usalama waliostaafu ambao wana ujuzi na uzoefu wa kukabiliana na wahalifu. Hayo yalisemwa kwenye hafla ya uzinduzi wa kitabu cha aliyekuwa naibu inspecta jenerali wa polisi, Omar Abdi Shurie kwa jina“Beyond call of Duty” iliyohudhiriwa na maafisa wa usalama waliostaafu. Katibu katika wizara ya usalama wa kitaifa Dkt Raymond Omollo, ambaye alikuwa mgeni mheshimiwa alisema serikali itashirikiana na maafisa hao katika ukusanyaji taarifa za kijasusi huku akiwahimiza wazidi kuwa wazelendo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Huduma Kwa Taifa: Omar Abdi Shurie azindua wasifu wake “Beyond call of Duty”
- - Duniani Leo ››
- 17 May 2024 - 23-year-old Maseno University student arrested over alleged rape of two first years
- 17 May 2024 - Tensions - and voices - rose on Thursday as Donald Trump's lawyer hit back against prosecutors, accusing their star witness repeatedly of lying. On the most-tense day yet of cross-examination, Michael Cohen, Mr Trump's former fixer, described talking to…
- 17 May 2024 - The tax will be imposed at a rate of 2.5 per cent of the vehicle's value.
- 17 May 2024 - Reading Time: 2 minutes A group of Nairobi residents yesterday took to the streets to demonstrate against what they describe as unplanned development projects […]
- 17 May 2024 - The CS also exposed alleged sponsors behind the caucus.
- 17 May 2024 - National Treasury to allocate Sh1bn annually for 12 years to refurbish State Houses.
- 17 May 2024 - Charles Nyaberi: The only place that I'll go to is Paris
- 17 May 2024 - Mother battles for son's custody with American
- 17 May 2024 - Kenya, Uganda to extend oil pipeline from Eldoret to Kampala
- 17 May 2024 - TSC now threatens to sack intern teachers