- 4,562 viewsJenerali Francis Omondi Ogolla alifariki katika ajali ya helikopta ya jeshi siku ya Alhamisi, muda mfupi baada ya kupaa, kaskazini magharibi mwa Kenya. Ogolla alikuwa ametoka kuwatembelea wanajeshi wanaopambana na uhalifu unaotokana na wizi wa mifugo katika eneo hilo. Rais wa Kenya William Ruto ametangaza siku tatu za kuomboleza kifo cha mkuu huyo na maafisa wengine wa jeshi waliofariki katika ajali hiyo. Mshauri wa Usalama wa Taifa Marekani Jake Sullivan, ametuma salamu za rambi rambi kwa rais Ruto, jeshi la Kenya na Wakenya kwa jumla kufuatia kifo cha Jenerali Ogolla na wanajeshi wengine. Sullivan amesema kwamba Ogolla alikuwa mtu muhimu sana katika uhusiano kati ya Marekani na Kenya katika kuhakikisha usalama wa kila mtu. Taarifa ya White House imesema kwamba Ogolla amesaidia sana katika vita dhidi ya ugaidi hasa kutoka kwa kundi la Al-shabaab la Somalia na kuongoza juhudi za kuimarisha usalama wa kanda nzima, na kuongezea kwamba Marekani imefurahishwa na ushirikiano kutoka kwa Jenerali Ogolla aliyepata mafunzo ya urubani nchini Marekani. Jenerali Ogolla atazikwa Jumapili, April 21, nyumbani kwake, Ng’iya, Kaunti ya Siaya. #jenerali #FrancisOmondiOgolla #kifo #ajali #rais #kenya #williamruto #usalamawataifa #JakeSullivan #rambirambi #marekani #miili #maombolezo
Miili ya waliofariki katika ajali ya ndege yawasili Nairobi
- 17 May 2024 - Approximately 200 Kenyan police officers will be deployed to Haiti next week as part of the UN Security Council-backed security mission to Port-au-Prince.
- 17 May 2024 - Taiwanese lawmakers shoved, tackled and hit each other in parliament on Friday in a bitter dispute about reforms to the chamber, just days before President-elect Lai Ching-te takes office without a legislative majority.
- 17 May 2024 - Parliament has raised the red flag over alleged massive graft in the issuance of capitation funds to Junior Secondary Schools (JSS) across the country.
- 17 May 2024 - National Assembly Finance Committee Chairman and Molo MP Kuria Kimani has shed light on the rationale behind the Treasury's proposal to introduce a 16% Value Added Tax (VAT) on bread.
- 17 May 2024 - Okello becomes the first African jurist to hold the position in the body’s 40-year history.
- 17 May 2024 - An audit revealed that Kenya spent around Ksh58.63 million yearly to rent the chancery in London from 2021 to August 2023
- 17 May 2024 - Project is aimed at reducing rural poverty and food insecurity among smallholder farmers in arid and semi-arid lands.
- 17 May 2024 - Karua group is expected to make a major statement at Limuru III meeting
- 17 May 2024 - It is feared that more than 4.5 million learners who depend on school meals are at risk of dropping out
- 17 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Isiolo County has been hit hard by flooding after River Ewaso Nyiro burst its banks, displacing 708 p****e in the […]