- 62 views
Shirika la msalaba mwekundu limeonya kuhusu uwezekano wa janga la kibinadamu huu nchini, huku makazi elfu 30 katika kaunti zilizo kwenye hatari zaidi yakiwa na uwezekano wa kufurika huku mvua kubwa ikiendelea kushuhudiwa katika maeneo mengi nchini. Shirika hilo vilevile limetoa tahadhari kwa wakazi wanaoishi karibu na mabwawa ya Masinga na Kiambere ambayo yako katika hatari ya kufurika baada ya maji kuzidi kiwango. Haya yanajiri huku mito katika kaunti za Nairobi, Machakos na kajiado ikivunja kingo zake na kusababisha mafuriko katika maeneo ya makazi, watu kupoteza maisha na mifugo, uharibifu wa miundo msingi na watu kutoroka makwao katika zaidi ya makazi elfu 10,144.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Shirika la msalaba mwekundu limeonya kuhusu uwezekano wa janga la kibinadamu humu nchini
- 20 May 2024 - French forces smashed through dozens of barricades in a bid to retake the main road to New Caledonia's airport and a top official said Sunday that Paris would reclaim all of the Pacific territory from independence militants "whatever the cost".
- 20 May 2024 - The Kenya Meteorological Department on Sunday issued a four-day heavy rainfall, strong winds and large ocean waves advisory.
- 20 May 2024 - Israeli planes and tanks pounded areas across the Gaza Strip, residents said, as White House national security adviser Jake Sullivan met Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu on Sunday amid U.S. calls for a more focused military campaign.
- 20 May 2024 - Why you shouldn't wrap food in aluminium foil before cooking it
- 20 May 2024 - Meg Whitman: Taxation rates should be increased gradually
- 20 May 2024 - Love transcends language as deaf and dumb couple wed
- 20 May 2024 - Nakuru sitting on time bomb as fissures emerge after heavy rains
- 20 May 2024 - Kebs locks out Swiss firm from lucrative tender over graft case
- 20 May 2024 - Nassir refuses to bow to pressure on miraa, muguka
- 20 May 2024 - Students urged to commit to sustainable practices