Maandamano kulaani vita yaongezeka katika Vyuo Vikuu Marekani
Maandamano ya wanaounga mkono Wapalestina yameongezeka katika vyuo vikuu vya juu vya Marekani siku ya Jumatatu.
Baada ya usiku kuingia, polisi wa kutuliza ghasia wakiwakabili waandamanaji katika Chuo Kikuu cha New York na kuwakamata watu wengi.
Mamia ya waandamanaji walikaidi amri ya chuo kikuu kuondoka kwenye uwanja ambako walikusanyika.
Waandamanaji walikuwa wanapiga kelele wakiitaka mamlaka ya Chuo Kikuu cha New York, NYU kuachana na juhudi zinazohusishwa na vita vya Israel huko Gaza. Katika Chuo Kikuu cha Columbia cha New York, polisi waliwazuia waandamanaji kadhaa.
Maandamano yanayoendelea katika vyuo vikuu ni taswira ya kuongezeka kwa mzozo kati ya Israel na Palestina, ulioanza tarehe 7 Oktoba kwa shambulio baya la wanamgambo wa Kiislamu wa Hamas nchini Israel, na jibu kali la Israel katika Gaza inayodhibitiwa na Hamas.
#Waandamanaji #chuokikuu #columbiauniversity #newyork #marekani #wanafunzi #polisi #palestina #wapalestina #hamas #israel #voa #voaswahili
18 May 2024
- The PS also issued an advisory to applicants on what they need to do during the week.
18 May 2024
- The businessman was astonished to find that his account was wiped clean and the funds transferred to various bank accounts.
18 May 2024
- The closure will begin from Saturday to Monday.
18 May 2024
- At least eight people have been confirmed dead after a bus they were travelling in plunged into a river in Gataka area on the border between Nairobi and Kajiado North.
18 May 2024
- The government has announced plans to build a new Ministry of Foreign Affairs headquarters in Nairobi.
18 May 2024
- Some of Donald Trump's allies are assembling proposals to curtail the Justice Department's independence and turn the nation's top law enforcement body into an attack dog for conservative causes, nine people involved in the effort told Reuters.
18 May 2024
- Outspoken lawyer Miguna Miguna has shared his recovery journey after sustaining a minor leg injury.
18 May 2024
- Police in Ugunja, Siaya County are investigating the death of a 35-year-old man whose body was found hanging in his rented house within Ugunja town on Saturday morning.
18 May 2024
- The discovery caused panic at the shop before the handler called the police
18 May 2024
- Nominated Senator Crystal Asige has called on the government to include people living with disabilities in policy formulation in matters of transport and mobility.
18 May 2024
- Ruto said he is aware that what is right might not be popular
18 May 2024
- At least 33 construction workers are confirmed to have died when the five-storey building collapsed.
18 May 2024
- In Kenya, wealth declaration forms are confidential