Trump na Biden wanafursa katika sera ya bhangi uchaguzi mkuu
Bhangi ni suala nadra la makubaliano katika Amerika iliyogawanyika kisiasa, huku ukusanyaji maoni ukionyesha kwamba asilimia 88 ya Wamarekani wanaunga mkono walau kwa kiasi fulani kuhalalisha bhangi.
Lakini watetezi wa bhangi wanasema hakuna mgombea hata mmoja wa juu wa urais anatumia mitazamo inayobadilika.
Takriban robo tatu ya Wamarekani wanaishi katika majimbo ambako bhangi ni halali kutumiwa kwa ajili ya matibabu. Nusu ya idadi ya watu wanaishi katika maeneo ambako bBhangi inaruhusiwa kwa starehe.
Lakini Bhangi bado inaendelea kutizamwa kuwa si halali kwa mujibu wa sheria ya serikali kuu, ambako imewekwa pamoja na heroine na LSD kama dawa isiyo ya matumizi ya matibabu yanayokubalika kwa hivi sasa na kuna uwezekano mkubwa ikatumiwa vibaya.
Idadi kubwa ya wapiga kura wa Marekani ambao wanadhani kwamba ni vyema mabadiliko yafanyike kwa bhangi ni fursa muafaka kwa wagombea urais Joe Biden na Donald Trump, hasa miongoni mwa wapiga kura vijana, kwa mujibu ….. . … Scotty Smart, ambaye ni mratibu wa jumuiya katika kundi la kiraia la New Georgia Project.
Scotty Smart, New Georgia Project anaeleza: “Watu wengi hawaelewi sera. Watu wengi hawafahamu jinsi sera zinavyoathiri maisha ya kila siku. Nadhani banghi ni suala ambalo linachochea na kuwasisimua vijana wadogo kulipa mtizamo.”
Caroline Phillips, National Cannabis Festival amesema: “Kwa wote hao, jambo moja ambalo wanafana ni kwamba rekodi yao juu ya bhangi imekuwa haiendani na inaongezeka. Tumesikia ahadi kutoka kwa tawala zote mbili, hakuna hata moja
ambaye amejitokeza wazi wazi.”
#bhangi #marekani #siasa #wamarekani #wagombea #urais #uchaguzi #voa #voaswahili #dunianileo #donaldtrump #joebiden
19 May 2024
- According to the Gazette Notice, the land would be under the management of the State Department for Social Protection and Senior Citizen Affairs.
19 May 2024
- The commissioner retired in January 2023 alongside Wafula Chebukati and Moya Bolu.
19 May 2024
- The family has requested help from Interior CS Kithure Kindiki to help resolve the matter.
19 May 2024
- Witnesses said the strike occurred around 3:00 am local time. The Israeli army said it was checking the report.
19 May 2024
- Kiharu Member of Parliament and Chairman of the Budget Committee Ndindi Nyoro has reassured Kenyans that their views will be thoroughly considered before the implementation of the 2024-2025 Finance Bill.
19 May 2024
- Three employees of the Sports, Arts and Social Development Funds (SASDF) were on Friday arraigned at the Milimani Law Courts for using fake academic credentials to secure employment within the public service.
19 May 2024
- According to police reports, Mr. Lang'at Kosgey, the area assistant chief of Seretunin Sub-location, reported the murder to the station.
19 May 2024
- Two Nigerian nationals and a Kenyan woman have been apprehended by officers from the anti-narcotic unit on suspicions of engaging in cocaine, heroin and Methamphetamine trafficking.
19 May 2024
- At about 10:30 a.m., a Washtenaw County Sheriff's deputy responded to a welfare check in the 1300 block of W. Warner Street after the woman's family reported not hearing from her for several days.
19 May 2024
- The bereaved father, who lives near the Rumaila field in the southern province of Basra, is demanding that the firm compensate him for his son Ali's medical expenses, which have left him in crushing debt.
19 May 2024
- Some Canadian provinces have logged a jump in unclaimed dead bodies in recent years, with next of kin citing funeral costs as a growing reason for not collecting loved ones' remains.
19 May 2024
- The fishing vessel got into difficulty on Friday but local officials said they had not given up hope for the men, despite air and sea searches turning up no trace.
19 May 2024
- Usukhjargal Tsedendamba, 53, and Purevsuren Lkhagvajav, 31, were last in contact Sunday evening from Camp 4, which is situated less than a kilometre (0.6 miles) below the summit.