- 4,071 views
Wanafunzi na wazazi katika kaunti ya Kajiado wamejipata kwenye njia panda baada ya kufika shuleni na kupokea taarifa kuwa kufunguliwa Kwa shule Kwa muhula wa pili kumehairishwa hadi wiki ijayo. Wazazi waliokuwa tayari wamefika Kajiado Mjini wakipanga kuwapeleka wana wao kwenye shule zilizoko nje ya Kajiado walipatwa na mshangao Mkubwa baada ya kupata taarifa hizo wakiwa njiani kuelekea shule. wazazi hao wanasema Serikali ingepaswa Kutoa taarifa hiyo mapema. Wanafunzi wengi ambao walikuwa tayari wamewai shuleni katika shule ya msingi ya Kajiado township wamelazimika kurejea Nyumbani kuendelea na likizo Hadi wiki ijayo wakati shule zitafunguliwa baada ya ufunguzi kuahirishwa Kwa wiki Moja zaidi.
Mkanganyiko kwa wazazi baada ya serikali kuahirisha kufunguliwa kwa shule
- - MITINDO YA KIPWANI ››
- 18 May 2025 - An inferno that started in the wee hours on Sunday morning has torched businesses at Gikomba market in Nairobi.
- 18 May 2025 - People’s Liberation Party (PLP) leader Martha Karua says she was denied entry to Tanzania on Sunday, May 18, 2025.
- 18 May 2025 - A newly constructed wetland in Mombasa aims to use nature-based solutions to address wastewater challenges facing the area.
- 18 May 2025 - The Kenya Forest Service (KFS) has suspended the construction of a posh camping facility at the Sanctuary block in Ngong Road Forest, pending further consultations.
- 18 May 2025 - The Senate's Public Accounts Committee has expressed astonishment at stalled projects in Uasin Gishu county, as millions remain unaccounted for.
- 18 May 2025 - “Tumeamua liwe liwalo, Rais wa Jamuhuri ya Kenya 2027 ni William Samoei Ruto."
- 18 May 2025 - The CS urged political leaders to refrain from making remarks that could plunge the country into a crisis.
- 18 May 2025 - Kenyan political stage leading to 2027 and beyond is being set for a fascinating interplay of ambition and bloc power.
- 18 May 2025 - "Kenya will never return to political violence. Not in 2027, not at any other time in future."
- 18 May 2025 - With 10 days under his belt as pope, Leo XIV has already shown himself to be a mild yet focused bridge-builder, with a soft spot for the underdog and a passion for tennis.