- 473 views
Mratibu wa bonde la Ufa Maalim Mohammed amehimiza wanakandarasi kuhakikisha kuwa wanamaliza miradi ya serikali chini ya muda wa maelewano. Mohammed ambaye pia ni mwenyekiti wa miradi ya maendeleo aliyasema haya alipozuru na kukagua miradi mitatu mikuu ya serikali mjini Narok na viungani mwake. Kati ya miradi aliyokagua ni pamoja na daraja lililoko enea la Jela ya Narok ,barabara mpya ya polong'a,kiwanda cha ngozi cha Euasonyiro na barabara ya itakayoelekea katika ofisi za kamishna wa Kaunti hiyo.
Wakandarasi waonywa dhidi ya kutokamilisha miradi Narok
- - 🔴 LIVE|| NEWS NOW ››
- - Duniani Leo ››
- - 🔴 LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 8 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Revelations that top managers of the Kenya Union of Savings and Credit Co-operatives Society (KUSCO) benefited illegally from members’ savings […]
- 8 May 2024 - Most of his 'clients' received five-year visa bans from the Canadian embassy for falsified applications.
- 8 May 2024 - Most of his 'clients' received five-year visa bans from the Canadian embassy for falsified applications.
- 8 May 2024 - You have not suffered ! Here's the bitter truth about my hilarious encounter with 'sophisticated' green tea
- 8 May 2024 - Zuma has become the party's public face despite remaining an ANC member.
- 8 May 2024 - Reading Time: 2 minutes Concerns have arisen regarding the accurate valuation of Kenya Union of Savings and Credit Co-operatives Ltd (Kuscco)’s assets and deposits, […]
- 8 May 2024 - Kibor's widow claims she is on the verge of eviction
- 8 May 2024 - Striking doctors, state return to court after failing to reach deal
- 8 May 2024 - UK tea giant Lipton to sell 15pc stake to local farmers in deal
- 8 May 2024 - Reading Time: 2 minutes A senior police detective yesterday confirmed to court that former Migori Governor Okoth Obado was not at the scene of […]