- 287 views
Idara ya usalama kaunti ya kakamega imezindua utumizi wa mtambo wa elektroniki utakaosaidia kuwanasa wanasiasa ambao wataeneza semi za chuki miongoni mwa wapiga kura msimu huu wa kampeni. Akizungumza na wanahabari kabla ya kuanza rasmi zoezi la mbio za amani za kilomita saba mjini kakamega,kamishna wa kaunti ya kakamega john ondego, amewataka wanasiasa kueneza jumbe za amani na kutowatumia vijana kwa kuwapa mihadarati ili kuzua vurugu. Kwa upande wake mkuu wa polisi kaunti hiyo Joseph kigen, amewaonya wanasiasa dhidi ya kutumia vijana kuvuruga amani huku akiwataka kutumia fursa hiyo kueneza amani miongoni mwa wananchi.
Idara ya usalama Kakamega yaanza mpango wa kurekodi mikutano
- 6 May 2024 - The stalemate between doctors and the government continues after the Kenya Medical Practitioners and Dentists Union (KMPDU) failed to sign a return-to-work formula.
- 6 May 2024 - The National Assembly's Transport and Infrastructure Committee has raised concerns over the rising number of damaged roads in the nation affected by the ongoing floods.
- » CDF officials, private company directors to be arraigned over embezzlement of Ksh.55.8M in Nyahururu6 May 2024 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) is set to arraign 10 NG-DCF officials and directors of private companies from Ol Kalou over the embezzlement of Ksh.55.8 million.
- 6 May 2024 - Rice farmers in Ahero, Kisumu County are counting losses after floods swept off their paddies.
- 6 May 2024 - President Ruto was speaking during a tour of Mathare.
- 6 May 2024 - Linturi will be accorded an opportunity to defend himself
- 6 May 2024 - He said the government has set aside funds to provide them with food supplies.
- 6 May 2024 - He has promised Sh10,000 to every affected homes to help in relocation.
- 6 May 2024 - The governor was forced to eat humble pie after visiting the facility himself.
- 6 May 2024 - Speaker Moses Wetangula has convened a special sitting Monday next week during which the Select Committee investigating the proposed dismissal of Agriculture CS Mithika Linturi will present its report to Parliament. In a notice on Monday May 6, Wetangula…