- 180 views
Wito umetolewa kwa wenyeji wa kaunti ya Garissa kuwachagua wanawake katika uchaguzi mkuu ujao kwa nia ya kubadili mkondo wa kisiasa kwa jamii ya wafugaji ambayo haitambui uongozi wa wanawake. Katika mkutano ulioandaliwa na shirika moja lisilo la kiserikali la Eco Africa na kuleta pamoja wazee wa jamii hiyo, vijana na viongozi wanawake, ilibainika Kwa changamoto kubwa kwa kina mama kutoka maeneo ya wafugaji ni mila potovu inayowanyima nafasi katika uongozi ilhali wana uwezo wa kuongoza. Ukosefu wa elimu ya kutosha na hamasisho kuhusu haki zao za kidemokrasia pia yamechangia kuongeza vikwazo kwa wanawake wanaojitosa kwenye ulingo wa siasa.
Wito watolewa kwa wenyeji wa Garissa kuwachagua wanawake kwenye kura
- - SHUJAA WA WIKI ››
- 4 May 2024 - Two people including a nine-year-old boy were injured in Rapogi Village, Migori County, during a clash between rival political groups at a funeral event.
- 4 May 2024 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has carried out a targeted raid on a senior government official identified as Fredrick Ondari Ochanda.
- 4 May 2024 - Detectives from the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) have arrested a suspected fraudster purporting to be an Anti-Corruption Lawyer and Investigator who is accused of conning the public in Nairobi.
- 4 May 2024 - Detectives from the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) have arrested a suspected fraudster purporting to be an Anti-Corruption Lawyer and Investigator to con the public in Nairobi.
- 4 May 2024 - Mara Managers Association has come out to dispel claims that there were tourist deaths following the ongoing heavy rains that have resulted in floods.
- 4 May 2024 - Mara Managers Association has come out to dispel claims that there were tourist deaths following the ongoing heavy rains that have resulted in floods.
- 4 May 2024 - "Indeed, we will feel the effects from the fringes of the tropical cyclone, but it will weaken to become a depression. The eye of the cyclone will make landfall just about or below 5°S from the equator," said the meteorological department.
- 4 May 2024 - A 77-year-old man is nursing serious injuries at the Consolata Hospital Mathari in Nyeri after he was attacked by a hyena at their village in Losira, Isiolo County.
- 4 May 2024 - Hope Hicks, a former top aide to Donald Trump, testified on Friday that he told her in the final days of the 2016 presidential election to deny that he had a sexual relationship with porn star Stormy Daniels.
- 4 May 2024 - The government is in the process of mapping out rivers prone to flooding with a view to constructing dams and water pans to harness water for agricultural use.