- 274 views
Walimu wa shule za Sekondari Msingi Wanaendelea na mgomo wao kwa wiki ya pili sasa wakishinikiz akupewa kandarasi za kudumu. katika kaunti ya Machakos, walimu hao waliandamana kutoka mji wa Machakos hadi katika ofisi za tume ya walimu -TSC. Waalimu hao wanasema kuwa wanabaguliwa kwenye ajira ilhali wanafanya kazi ambazo walimu walioajiriwa wanafanya. aidha wanalalamikia malipo duni ya shilingi elfu kumi na saba. Aidha wanaitaka serikali kuwasikiza na kutekeleza uamuzi w amahakama kikamilifu. Maandamano kama hayo pia yamefayika katika kaunti za kirinyaga na taita taveta.
Walimu wa JSS waandamana Machakos na Kirinyaga
- - Football 90 [part 2] ››
- - Football 90 [part 1] ››
- 18 Aug 2025 - President William Ruto has vowed to ensure that Members of Parliament and Senators behind an extortion scheme called soko huru are apprehended.
- 18 Aug 2025 - The death toll from a blast at a gunpowder plant near Moscow rose to 20, with more than 100 wounded, the authorities said on Monday, as a probe began into possible industrial safety violations.
- 18 Aug 2025 - Public Service Cabinet Secretary Geoffrey Ruku says the government is developing an application to monitor the productivity of all civil servants.
- 18 Aug 2025 - Ministry of Health (MoH) Cabinet Secretary Aden Duale has convened a meeting with key strategic partners in the
- 18 Aug 2025 - Rapper Boutross Munene has shared his thoughts on the ongoing debate about whether artistes should perform at government
- 18 Aug 2025 - Nominated Senator Tabitha Mutinda distanced herself from claims that Senators received Kshs. 10 million to impeach former Deputy President Rigathi Gachagua.
- 18 Aug 2025 - Kibet's body has not been recovered since the mysterious 'drowning' in January.
- 18 Aug 2025 - The government has enhanced its crackdown on civil servants who exhibit laxity in the workplace.
- 18 Aug 2025 - An Australian court fined Qantas Aus$90 million (about Ksh.7.6 billion) on Monday for illegally laying off 1,800 ground staff during the Covid-19 pandemic, ending a five-year legal battle over the workers' rights.
- 18 Aug 2025 - Comrade Jevin Oyoo said the encounter was a rare opportunity and one that he was determined to seize