Skip to main content
Skip to main content

Vifo vya kipindupindu vyafikia watu watatu Transmara, kaunti yapiga marufuku uuzaji wa vyakula

  • | Citizen TV
    838 views
    Duration: 3:06
    Idadi ya watu waliofariki kutokana na kipindupindu eneo la Transmara, kaunti ya Narok imefikia watatu baada ya mtu mmoja zaidi kuaga dunia. Idadi ya wanaougua kipindupindu pia imeongezeka na sasa kufikia watu 45 waliolazwa hospitalini. sasa idara ya afya ya kaunti ya Narok imepiga marufuku uuzaji wa vyakula eneo hilo.