Skip to main content
Skip to main content

Serikali yazindua mpango wa NYOTA kwa uwezeshaji wa vijana nchini

  • | Citizen TV
    716 views
    Duration: 2:49
    Serikali imezindua rasmi mpango mpya wa NYOTA utakaowaimarisha vijana katika kaunti zote nchini. Makatibu wa wizara mbalimbali wameongoza zoezi hili ambapo vijana watapewa mtaji na mafunzo ya kuanzisha miradi