Skip to main content
Skip to main content

Bandari FC yamtangaza Mohamed Borji kuwa kocha mkuu mpya

  • | Citizen TV
    218 views
    Duration: 50s
    Klabu ya ligi kuu Bandari Fc imemteua raia wa Morocco Mohamed Borji kuwa kocha wake mkuu mpya. Borji anachukua mahali pa Ken Odhiambo ambaye alifutwa kazi wiki iliyopita. Mshambulizi huyo wa zamani wa Wydad Casablanca ya Morocco, ametia saini mkataba wa mwaka mmoja na Bandari