Skip to main content
Skip to main content

Vijana 70 kutoka wadi 15 Laikipia kupewa elfu hamsini

  • | Citizen TV
    356 views
    Duration: 1:57
    Katibu katika Wizara ya Ulinzi Patrick Mariru, ameongoza uzinduzi wa mpango wa serikali wa Nyota katika Kaunti ya Laikipia, mradi unaolenga kuwawezesha vijana kiuchumi kupitia mafunzo na mtaji wa kuanzisha biashara.