Skip to main content
Skip to main content

Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Laikipia watishia kuandamana

  • | Citizen TV
    196 views
    Duration: 1:24
    Huku mgomo wa wahadhiri wa vyuo vikuu vya umma nchini ukiendelea, viongozi wa wanafunzi wa chuo kikuu cha Laikipia wametishia kujiunga na mgomo huo iwapo serikali haitawajibika kwa kipindi cha saa 72.