Skip to main content
Skip to main content

Wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dedan Kimathi kugoma mara ya pili

  • | Citizen TV
    321 views
    Duration: 1:25
    Shughuli za Masomo Katika chuo kikuu cha Dedan Kimathi kilichoko kaunti ya Nyeri zinatarajiwa kutatizika zaidi, baada ya wahadhiri na wafanyakazi wa chuo hicho kuanzisha mgomo wa pili, wakiteta kukandamizwa na chuo hicho, kwenye utekelezaji wa Mikataba miwili ya makubaliano iliyopita