Skip to main content
Skip to main content

Serikali yasema imeimarisha usalama wakati na baada ya uchaguzi mdogo wa ubunge Kasipul

  • | Citizen TV
    1,407 views
    Duration: 2:55
    Idara ya usalama imetoa hakikisho la usalama wakati wa kampeni za uchaguzi mdogo katika eneo bunge la Kasipul kaunti ya Homa Bay.Katibu wa wizara ya usalama wa ndani Raymond Omollo amesena visa vya ghasia vilivyoshuhudiwa wakati wa mchujo havitapata nafasi wakati huu wa uchaguzi mdogo.