Skip to main content
Skip to main content

Vijana washauriwa kujisajili kuwa wapiga kura Butere

  • | Citizen TV
    112 views
    Duration: 1:15
    Wito unatolewa kwa vijana kujitokeza na kujisajili kama wapiga kura kuelekea uchaguzi wa 2027, ili kuwachagua viongozi wenye maono ya maendeleo. Wakizungumza kule Butere, Kasisi John Ambaisi wa Kanisa la St. Thomas Nyenyesi, na wakereketwa wengine wamesisitiza umuhimu wa kura ya vijana kuwa chachu ya mabadiliko.