Skip to main content
Skip to main content

Familia za vijana wawili waliouawa kwenye mzozo wa shamba zalia Nandi

  • | Citizen TV
    1,753 views
    Duration: 3:28
    Familia mbili katika eneo la Kimwani kaunti ya Nandi zimeitaka serikali kuhakikisha haki inatendeka baada ya wana wao kupoteza maisha kwa kupigwa risasi na polisi kwenye mzozo wa ardhi unaoendelea katika eneo hilo.