- 5 views
Mwenyekiti wa kamati ya fedha Kuria Kimani amedokeza kuwa huenda ushuru wa magari wa asilimia mbili nukta tano unaopendekezwa katika mswada wa fedha wa 2024 utapitishwa ulivyo kwani bajeti ilioko kwa sasa haijapunguzwa. kulingana na kimani, ushuru huo utafadhili bajeti kwa shilingi bilioni hamsini na nane na ukiondolewa utaleta pengo sawia katika bajeti. Muungano wa wanaotoa bima umepinga ushuru huo ukionya huenda wamiliki wa magari wakakwepa kuchukua bima
Kuria Kimani: Ushuru wa magari utasaidia kufadhili bajeti
- - Duniani Leo ››
- 13 May 2025 - KRA moves to end VAT fraud and curb staff collusion
- 13 May 2025 - Camel meat consumption up 30pc - KNBS
- 13 May 2025 - Haji: Security at risk without full Sh65bn budget
- 13 May 2025 - Showdown looms as rival Nyamira Assembly camps meet
- 13 May 2025 - Somalia rolls out voter registration after 56 years of electoral drought
- 13 May 2025 - Defence PS seeks Sh40.7 billion for military projects
- 13 May 2025 - Why Kenya lost Sh7 billion in exports to EAC
- 13 May 2025 - Police opened fire on demonstrators before Rex Masai's death, inquest told
- 13 May 2025 - IEBC nominees to be vetted on May 26 as Gachagua faults list
- 13 May 2025 - Irate wheat farmers protest delayed payment by produce board