Skip to main content
Skip to main content

Kwa nini bado vita vya Israel huko Gaza vinaendelea baada ya miaka miwli? Katika Dira ya Dunia TV

  • | BBC Swahili
    15,180 views
    Duration: 28:10
    Ni miaka miwili tangu kundi la Hamas liliposhambulia raia wa Israel katika mji wa kusini mwa Israel na kuwateka watu zaidi ya 250 na kuwauwa wengine zaidi ya 1,000. Miaka miwili baadaye, Gaza imesalia magofu huku Israel ikichukua udhibiti wa maeneo kama jiji la Gaza na kwengineko kuzuia shambulizi lingine kutokea. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw