- 47 views
Wanafunzi walioathiriwa na mafuriko katika maeneo mbalimbali ya makazi yasiyo rasmi wana sababu ya kutabasamu baada ya kupokea ufadhili wa viatu na mavazi kutoka kwa wasamaria wema. Ufadhili huu umetokea wakati ambapo maeneo mengi vijijini bado yanakabiliwa na athari za mafuriko kufuatia mvua kubwa ya mwezi aprili na mei. Hafla hii ilifanyika katika shule ya msingi ya mukuru kwa Ruben, eneo bunge la Embakasi Magharibi kaunti ya Nairobi.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Wanafunzi walioathiriwa na mafuriko wapokea ufadhili wa viatu na mavazi kutoka wasamaria wema
- - Duniani Leo ››
- 1 Jul 2025 - Senators pass Division of Revenue (Amendment) Bill, 2025 placing the ball in President Ruto’s court.
- 1 Jul 2025 - Blow to Joho family as apex court cancels its KPA tender
- 1 Jul 2025 - Amin denies holding the missing blogger, labels him 'wanted'
- 1 Jul 2025 - Day I met Bedel Bokassa's son in Geneva: Warning to CS Murkomen
- 1 Jul 2025 - Creative economy: Missed opportunities from neglect despite talk about big numbers
- 1 Jul 2025 - Inside 16-year pension tussle pitting Stanchart against its 629 ex-staff
- 1 Jul 2025 - Kalonzo: I will not jump ship and join Ruto
- 1 Jul 2025 - System failure? Gen Z hit reboot and reset to politics without politicians
- 1 Jul 2025 - OCS Talaam, Mukhwana lose bid to block Ojwang' murder trial
- 1 Jul 2025 - Grief as Boniface Kariuki dies from gunshot injuries after 12 days in ICU