Wakimbizi wa ndani waanzisha shule kwa ajili ya watoto wao Bulengo
Kulingana na Umoja wa Mataifa idadi ya wakimbizi imeongezeka sana duniani mwaka 2024 ikilinganishwa na mwaka uliyopita hasa wale wanaopoteza makazi yao na kubaki ndani ya nchi zao. Katika ripoti hii tunaangazia ubunifu wa wakazi waliobakia nchini mwao wanaopewa hifadhi katika kambi za mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Kwa Kumudu upya maisha yao huko, kundi la wakimbizi ambao walikimbia vijiji vyao kutokana na waasi wa M23, walianzisha kambini shule yao binafsi kwa ajili ya watoto wao. Mwandishi wa Sauti ya Amerika Austere Malivika kutoka Goma, alitembelea shule hiyo na hii ni ripoti yake...
#worldrefugeeday #wrd #goma #drc #unhcr #voa
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- Several adverts have been posted online.
11 Aug 2025
- Lagat has largely maintained a 'low profile' since his return to office.
11 Aug 2025
- The British High Commissioner to Kenya, Neil Wigan is set to depart Kenya at the end of August marking an end to his 2 year tenure at the position.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
11 Aug 2025
- Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Lagat argues that the decision on whether to charge him over the death of blogger Albert Omondi Ojwang lies exclusively with the Director of Public Prosecutions (DPP) and not the courts.
11 Aug 2025
- The video widely shared on TikTok claims that the ’23-year-old’ was attacked during a performance.
11 Aug 2025
- The exposé contained footage allegedly showing minors being recruited into commercial sex work in Mai Mahiu
11 Aug 2025
- The nutrition survey indicates at least six million Kenyans are unable to afford essential food and non-food expenditures.
11 Aug 2025
- The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
11 Aug 2025
- The clip of the assault went viral over the weekend.
11 Aug 2025
- "I am extremely sorry to be leaving Kenya after a whirlwind two years," Wigan said.