Skip to main content
Skip to main content

Mwanaume Mkenya mwenye asili ya Italia ashtakiwa akihusishwa na ulaghai wa shamba Kilifi

  • | Citizen TV
    229 views
    Duration: 1:50
    Mwanaume mmoja Mkenya mwenye asili ya Italia ameshtakiwa kwa Ulaghai wa shilingi milioni 165 unaohusisha sehemu ya ardhi inayodaiwa kuwa ya familia maskini katika mpango wa makazi eneo la Chembe Kibabamuche kaunti ya Kilifi.