- 179 viewsDuration: 1:50Serikali kupitia idara ya huduma kwa umma na vijana nchini nys imeanzisha mradi wa ujenzi wa kumbi za mikutano katika ofisi za idara hiyo kote nchini kwa lengo la kuwavutia wandalizi wa mikutano kufanyia hafla mbalimbali ndani ya kumbi hizo.