Skip to main content
Skip to main content

Wagombea watatu waliidhinishwa na tume ya IEBC jana katika uchaguzi udiwani Purko Kajiado

  • | Citizen TV
    1,240 views
    Duration: 3:29
    Tume Huru ya Uchaguzi na uratibu wa Mipaka IEBC imewaidhinisha wagombea watatu kuwania Kiti cha Mwakilishi wadi katika wadi ya Purko Kaunti ya Kajiado kwenye uchaguzi mdogo ambao utaandaliwa tarehe 27 mwezi ujao. Wagombea walioidhinishwa ni Amos Mpusia wa UDA, Daniel Naikuni wa ODM na Sanare Saidimu wa DCP .