Skip to main content
Skip to main content

Wizara ya elimu yatafuta suluhu ya mgomo wa wahadhiri

  • | Citizen TV
    1,314 views
    Duration: 4:08
    Miungano ya wahadhiri na wafanyikazi wa umma ipo kwenye mkutano wa faragha na serkali katika chuo kikuu cha kiufundi cha Machakos kujadili muafaka wa kukamilisha mgomo wa wahadhiri na wafanyikazi wa vyuo vya umma ambao umeingia siku ya 21. Wahadhiri wamesisitiza mgomo huo hautaisha hadi walipwe fedha zao zote shilingi 7.9b kulingana na makubaliano yao za nyongezo ya misharaya ya mwaka 2017-2021