- 147 views- - - - - VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi. Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu. Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000. Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru. Jiunge na VOA Swahili: » Tembelea Tovuti Yetu: https://bit.ly/3PtyNWc »Angalia Video Zaidi za VOASwahili: https://bit.ly/3TNTiiI »Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : https://bit.ly/VOAPlus »Download VOA+ katika vifaa vya Android https://bit.ly/3KykriI »Tembelea Tovuti yetu: https://www.voaswahili.com/ »Upende ukurasa wetu wa Facebook: https://www.facebook.com/voaswahili »Tufuatilie katika Instagram: https://www.instagram.com/voaswahili »Tufuatilie katika X: https://twitter.com/voaswahili »Tufuatilie katika YouTube: https://www.youtube.com/@VOASwahili
ONGEZEKO LA JOTO NA ATHARI ZAKE KIAFYA
- 29 Jun 2025 - Politicians seek to win over the hard-to-impress group that has styled itself as leaderless and tribeless.
- 29 Jun 2025 - US sanctions on Sudan's government -- imposed over what Washington says was the use by Khartoum's military of chemical weapons in the country's bloody civil war last year -- have taken effect.
- 29 Jun 2025 - At least 16 scientists and 10 senior commanders were among those mourned at the funeral, according to state media, including armed forces chief Major General Mohammad Bagheri, Revolutionary Guards commander General Hossein Salami, and Guards Aerospace…
- 29 Jun 2025 - Ukrainian President Volodymyr Zelensky said Saturday it was "extremely important" for Kyiv to maintain friendly ties with neighbouring Poland, where incoming nationalist leader Karol Nawrocki opposes Ukraine's NATO bid.
- 29 Jun 2025 - Bus shelters and areas in the immediate vicinity of libraries, swimming pools and schools will also be affected by the ban, which is coming into force one day after its publication in the official government gazette on Saturday.
- 29 Jun 2025 - The U.S. Supreme Court's landmark ruling blunting a potent weapon that federal judges have used to block government policies nationwide during legal challenges was in many ways a victory for President Donald Trump, except perhaps on the very policy he…
- 29 Jun 2025 - The three are being held at Muthaiga Police Station.
- 29 Jun 2025 - Mentorship, from choosing the right education programmes to how to enter the job market, is essential.
- 29 Jun 2025 - Serbian police have clashed with a huge crowd of anti-government protesters demanding an early election and end to President Aleksandar Vucic’s 12-year rule in the capital Belgrade. A sea of around 140,000 protesters rallied in the city, the largest…
- 29 Jun 2025 - China has expanded the economic safeguards for segments of its population affected by flood control schemes in times of extreme rainfall, including pledges of direct compensation from the central government and payments for livestock losses.