Skip to main content
Skip to main content

Familia yateta kuhusu kucheleweshwa kwa uchunguzi wa mwili wa mvuvi aliyetoweka Nakuru

  • | Citizen TV
    728 views
    Duration: 2:43
    Familia ya mvuvi aliyetoweka Nakuru Brian Odhiambo sasa inalalamikia kile inasema ni njama ya kuchelewesha utekelezaji wa agizo la mahakama la kutafuta mwili wake unaoaminika kuzikwa kwenye mbuga ya Wanyama ya Nakuru. Odhiambo alitoweka mwezi Januari mwaka huu akiwa chini ya ulinzi wa maafisa wa shirika la KWS