Jeshi la Israeli laendeleza operesheni, vifaru vyasonga mbele
Jeshi la Israeli limetoa kanda ya video Jumatatu (Julai 8) ambayo ilisema inaonyesha majeshi yake yakifanya operesheni huko Gaza, wakati matumaini ya sitisho la mapigano kati ya Israel na Gaza yakifufuliwa.
Reuters haikuweza kupata uthibitisho huru wa sehemu au tarehe ambayo video hiyo ilipochukuliwa.
Mapema Jumatatu, majeshi ya Israeli yaliushambulia mji wa Gaza City na vifaru vilisonga mbele kuingia katikati ya mji huo kutoka maeneo tofauti katika kile wakazi walisema ni moja ya mashambulizi makubwa sana tangu Oktoba 7.
Idara ya Huduma za Dharura kwa Raia Gaza ilisema inaamini darzeni ya watu waliuawa lakini timu za huduma za dharura zilikuwa haziwezi kuwafikia kwa sababu ya mashambulizi yanayoendelea katika eneo.
Jeshi la Israeli lilisema katika taarifa yake ilikuwa inafanya operesheni dhidi ya miundombinu ya wanamgambo katika Ukanda wa Gaza, iliweza kuwaondoa zaidi ya wapiganaji wa Palestina 30 ambao walikuwa ni tishio kwa majeshi ya Israeli.
Mashambulizi mapya ya Israeli yamekuja wakati Misri, Qatar na Marekani zimezidisha juhudi ili kupatanisha makubaliano ya sitisho la mapigano kati ya Israel na kikundi cha wanamgambo wa Palestina Hamas wakati vita vya Gaza vikiingia mwezi wa kumi. - Reuters
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen
5 Jul 2025
- Operations at Haiti's Capital, Port-au-Prince, have been paralysed with over 90 per cent of the city taken over by gangs.
5 Jul 2025
- Witnesses revealed that the truck was on high speed.
5 Jul 2025
- The police fired gunshots in the air to disperse the crowds during the drama.
5 Jul 2025
- A middle-aged man was on Friday sentenced to seven years in prison after pleading guilty to a drug trafficking charge.
5 Jul 2025
- US President Donald Trump said Friday he was "very unhappy" about his telephone call with Vladimir Putin on the war in Ukraine, saying the Russian leader just wanted to "keep killing people."
5 Jul 2025
- Rwandan President Paul Kagame said on Friday he was unsure whether a U.S.-brokered peace deal would hold with Democratic Republic of Congo and warned he would respond to any "tricks" from his neighbour.
5 Jul 2025
- The United Nations Human Rights Council on Friday rejected a bid by Eritrea to end the mandate of a U.N. expert investigating alleged abuses in the country, in a relief to Western diplomats who feared it would set a dangerous precedent for states seeking…
5 Jul 2025
- The European Union's landmark rules on artificial intelligence will be rolled out according to the legal timeline in the legislation, the European Commission said on Friday, dismissing calls from some companies and countries for a pause.
5 Jul 2025
- From drought to prosperity: How one farmer transformed her livelihood through climate-smart agriculture
5 Jul 2025
- Three decades after the Srebrenica genocide, relatives are still looking for and burying the remains of more than 8,000 men and boys killed by Bosnian Serb forces, revealing the painful scars cut deep into the country. On July 11, 1995, Bosnian Serb…
5 Jul 2025
- We had no reason to believe this was going to be anything like what's happened here. None whatsoever.
5 Jul 2025
- Rescue teams pulled more bodies from the rubble of a five-storey building collapse in Pakistan overnight, taking the toll on Saturday to 14 as the recovery operation continued for a second day. The residential block crumbled shortly after 10:00 am on…
5 Jul 2025
- A court in Nakuru has released Molo Member of County Assembly Mr Joseph Ngware Ng’ang’a and his personal assistant, Mr. Simon Munene arrested in connection with the June 25 anniversary protests.