Jeshi la Israeli laendeleza operesheni, vifaru vyasonga mbele
Jeshi la Israeli limetoa kanda ya video Jumatatu (Julai 8) ambayo ilisema inaonyesha majeshi yake yakifanya operesheni huko Gaza, wakati matumaini ya sitisho la mapigano kati ya Israel na Gaza yakifufuliwa.
Reuters haikuweza kupata uthibitisho huru wa sehemu au tarehe ambayo video hiyo ilipochukuliwa.
Mapema Jumatatu, majeshi ya Israeli yaliushambulia mji wa Gaza City na vifaru vilisonga mbele kuingia katikati ya mji huo kutoka maeneo tofauti katika kile wakazi walisema ni moja ya mashambulizi makubwa sana tangu Oktoba 7.
Idara ya Huduma za Dharura kwa Raia Gaza ilisema inaamini darzeni ya watu waliuawa lakini timu za huduma za dharura zilikuwa haziwezi kuwafikia kwa sababu ya mashambulizi yanayoendelea katika eneo.
Jeshi la Israeli lilisema katika taarifa yake ilikuwa inafanya operesheni dhidi ya miundombinu ya wanamgambo katika Ukanda wa Gaza, iliweza kuwaondoa zaidi ya wapiganaji wa Palestina 30 ambao walikuwa ni tishio kwa majeshi ya Israeli.
Mashambulizi mapya ya Israeli yamekuja wakati Misri, Qatar na Marekani zimezidisha juhudi ili kupatanisha makubaliano ya sitisho la mapigano kati ya Israel na kikundi cha wanamgambo wa Palestina Hamas wakati vita vya Gaza vikiingia mwezi wa kumi. - Reuters
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen
14 May 2025
- The latest deal will create hundreds of opportunities for Kenyans.
14 May 2025
- The officials were warned if dire consequences.
14 May 2025
- Education PS Julius Bitok was at pains to explain why KEPSEA, JSS, and KCSE examinations had not been allocated funding.
14 May 2025
- The iconic 89-year-old -- who spent a dozen years behind bars for revolutionary activity -- lost his battle against cancer after announcing in January that the disease had spread and he would stop treatment.
14 May 2025
- The Ugandan government introduced a bill in parliament on Tuesday that would allow military tribunals to prosecute civilians, months after the country's Supreme Court ruled the practice unconstitutional.
14 May 2025
- Finland has returned a ceremonial stool that was looted from what is now Benin by French forces more than a century ago, a gesture that officials from both countries described as a milestone in the restitution of the West African country's cultural…
14 May 2025
- Additionally, the Ministry launched the disbursement of NG-CDF bursaries worth KSh 39 million, targeting underprivileged students in Mandera North as part of the government’s commitment to education and social protection.
14 May 2025
- Being exposed to extreme heat while pregnant has previously been linked to a range of problems, including a higher risk of premature birth, stillbirth, birth defects and gestational diabetes.
14 May 2025
- An escalation of fighting in eastern Democratic Republic of Congo has strained the Central African nation's public finances, the International Monetary Fund said on Tuesday.
14 May 2025
- Residents of Ashabito Sub-County in Mandera County are set to benefit from improved service delivery following the launch of public service operations in the newly gazetted administrative unit. The Huduma Smart Serikalini initiative (Mandera Edition)…
14 May 2025
- The latest deal will create hundreds of opportunities for Kenyans.
14 May 2025
- A lawmaker from Britain's opposition Conservative party has been charged with committing sexual assault at a renowned private members club in London, prosecutors announced on Tuesday.
14 May 2025
- The tour of the Arab Gulf states will also see Trump visit Qatar and the United Arab Emirates.