- 256 viewsWaokoaji walisema majeshi ya Israeli yameacha darzeni za miili walipoondoka maeneo mbalimbali ya Gaza City usiku baada ya mashambulizi makali yaliyodumu kwa wiki nzima ambayo yalikabiliwa na wapiganaji wa Hamas wakikabiliana nao. Waokoaji walisema wameikusanya kiasi ya miili 60 hadi sasa., Jeshi hilo lilitoa kanda ya video Jumatano (Julai 10) ikionyesha kile walichosema ni majeshi ya ardhini yakifanya operesheni Gaza wakati mashauriano ya kusitisha mapigano katika vita vilivyodumu kwa miezi tisa yamepangwa kuanza tena. Jeshi la Israeli lilisema katika taarifa yake kuwa majeshi yake yalikuwa yanaendelea na operesheni huko Gaza City dhidi ya wanamgambo wa Hamas na washirika wao Islamic Jihad, ambao walisema walikuwa wanafanya mashambulizi kutoka katika kituo cha UNRWA, wakikitumia kama ni ngome yao ya kufanya mashambulizi. Kulingana na jeshi la Israeli walikuwa wamefanyia operesheni zao katikati mwa Gaza na Shejaiya. Shirika la habari la Reuters halikuweza kuthibitisha eneo linaloonyeshwa katika kanda ya video. Reuters imeshindwa kupata uthibitisho huru wa tarehe ambayo video hiyo ilichukuliwa. Vita hiyo ilianza Oktoba 7 wakati wapiganaji kutoka Palestina wa kikundi cha wanamgambo wa Hamas walipovamia mpakani na kushambulia jamii mbalimbali huko Israel, ikiuwa watu 1,200 na kuwateka watu 250, kulingana na idadi iliyotolewa na Israeli. Shambulizi la Israeli huko Gaza kulipiza kisasi lilianza siku hiyo hiyo kwa kushambulia kwa mabomu na limeendelea kwa miezi tisa pamoja na uvamizi wa ardhini ambapo mamlaka za afya Palestina zinasema imeuwa zaidi ya watu 38,000 na kujeruhi zaidi ya watu 80,000. Idadi kubwa ya waliojeruhiwa kutokana na vita hivyo imeongeza magonjwa kusambaa na utapiamlo kati ya wakazi asilimia 90 wa Gaza ambapo Umoja wa Mataifa unasema wamekoseshwa makazi, na kuweka shinikizo kubwa kwa mifumo ya afya katika eneo hilo finyu. - Reuters #Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #hospitali #nasserhospital
Waokoaji: 'Jeshi la Israeli laacha miili mingi mjini Gaza City'
- - Duniani Leo ››
- 1 Jul 2025 - One person was shot dead, while six others, including an 11-year-old boy, sustained gunshot injuries when armed bandits attacked LMD Village in Burat ward, Isiolo County, on Sunday, June 29, 2025. Ten camels were also killed, while the bandits fled with…
- 1 Jul 2025 - In today’s rapidly transforming world of commerce, one truth has become increasingly clear: the future of retail logistics is no longer being shaped in traditional Western centres – it is being written in Asia. Nowhere is this shift more visible than in…
- 1 Jul 2025 - Kalonzo, Gachagua and Matiang’i all want to unseat President William Ruto.
- 1 Jul 2025 - For them, the field is not just a pitch. It’s a stage, a sanctuary and a second chance.
- 1 Jul 2025 - A vision for a greener, prouder Kenya – stitched together by community, colour and care
- 1 Jul 2025 - Word has it that State House operatives are taking note—and not kindly.
- 1 Jul 2025 - Boniface Mwangi Kariuki, a hawker who was shot in full glare of the cameras during protests that turned chaotic, passed on, dampening the mood of Kenyans who were praying for his survival. Kariuki, 22, was shot in the head by a policeman at point-blank…
- 1 Jul 2025 - A senior Anglican Church cleric has called on the government to listen to grievances raised by Kenyan youth through demonstrations. “They deserve to be heard, not dismissed. They are the present and future of this nation,” Nyahururu Anglican Diocese…
- 1 Jul 2025 - Kenya is blessed with a large – and growing – youthful population, with data indicating that close to 14 million people are aged between 18 and 35 years. That is about one of every three Kenyans. However, as is with all blessings, the flip side of the…
- 1 Jul 2025 - Bungoma Governor Kenneth Lusaka has moved his Finance Executive, Chrispinus Barasa, to the health docket following pressure from the Members of the County Assembly (MCAs) after rejecting the budget. Speaking to journalists in Bungoma, Lusaka affirmed his…