- 444 views
Wakati tarehe ya mwisho ya kuwasilisha maoni ya umma kuhusu uteuzi wa mawaziri wa baraza la mawaziri inakaribia, kuna ongezeko la shughuli kutoka kwa makundi ya kiraia na watu binafsi. aliyekuwa mwakilishi mkuu wa kinara wa Azimio Raila odinga wakati wa uchaguzi, Saitabao Ole Kanchory, amejiunga na orodha ya wale wanaopinga uteuzi huo mahakamani, anadai kwamba uteuzi wa viongozi wa upinzani katika baraza la mawaziri unadhoofisha jukumu lao la kikatiba la kusimamia na kukosoa serikali. Aidha, harakati za kiraia zinazoongozwa na mawakili zinahamasisha vijana kuunga mkono ombi la kupinga uteuzi huo.
Mawaziri wateule waendelea kupingwa
- 13 Jul 2025 - The Church in Kenya has been called upon to support the translation of the Bible into lesser-known languages, a project spearheaded by Bible Translation and Literacy (BTL). Speaking during the 5th edition of the “Run for The Bibleless” event held at…
- 13 Jul 2025 - Traditional political arithmetic is threatened by youth taking up an active role in Kenya's politics.
- 13 Jul 2025 - Questions linger about what could have caused the bleeding in Julia Wangui's brain.
- 13 Jul 2025 - The country must wake up to the reality that the big tribes’ power rivalry is slowly sending the country to the abyss
- 13 Jul 2025 - Revitalising indigenous seed systems is not merely about preserving the past; it is about securing the future
- 13 Jul 2025 - Protests show that psychological motivation to protest is a key driver used amongst the youth
- 13 Jul 2025 - The demonstrations turned violent as was predicted leaving over 31 people dead
- 13 Jul 2025 - Creating a global anti-graft court is the best impartial way to prosecute cases free from political interference
- 13 Jul 2025 - In Kenya, we are no strangers to state violence. But never before has it been commanded so openly
- 13 Jul 2025 - In a heartfelt appeal to the citizens of Nairobi, Geoffrey Mosiria, the Chief Officer of Environment, has taken