Washukiwa 51 wanaohusishwa na ghasia jimbo la Plateau wakamatwa
Polisi nchini Nigeria katika jimbo la Plateau, Nigeria waliwapanga mstari washukiwa 51 kati yao watoto wanaotuhumiwa kusababisha ghasia wakati wa maandamano ya hivi karibuni yaliyofanyika katika majimbo kadhaa hususan upande wa kaskazini mwa nchi.
Vijana wengi walimiminika mitaani wiki iliyopita Alhamisi katika miji mikubwa kupinga hali ngumu ya uchumi na ukosefu wa usalama.
Serikali ilisema maandamano katika majimbo mengi ikiwemo la Plateau yalitekwa nyara na kile vyombo vya usalama walichokielezea ni magenge ya wahuni ambao wanadaiwa kuiba na kuharibu mali za serikali na watu binafsi.
Baadhi ya washukiwa waliokamatwa na kufikishwa Mahakama Kuu ya jimbo wanakabiliwa na mashtaka yanayo husiana na kupeperusha bendera za Russia wakati wa maandamano.
“Ninatoa onyo kali kwa wale wote wanaofanya ghasia na maadui wa jimbo tafadhali waondoke na kuliacha jimbo la Plateau.”
Msemaji wa Kituo cha Polisi Jimbo la Plateau, Naibu Mkuu wa Polisi, Alfred Alabo aliiambia VOA.
Shirika la Amnesty International limeishutumu mamlaka kwa kutumia nguvu na hata risasi za moto kuvunja maandamano yaliyopangwa kumalizika Jumamosi.
#nigeria #russia #tinubu #voa
13 May 2025
- The latest report highlights a paradigm shift from the traditional income-generating investments to value-driven luxuries.
13 May 2025
- Ruto had told the Finnish President that all victims had been rescued on Monday.
13 May 2025
- Hundreds of other businesses are set to face disruptions on Wednesday as the crackdown continues.
13 May 2025
- Agriculture CS Mutahi Kagwe has clarified that no sugar factory in Kenya has been sold, stating that the government has only leased them out through a transparent process that received full Parliamentary approval.
13 May 2025
- In a bid to recover billions of shillings in unpaid land rates, Nairobi County on Tuesday launched a sweeping clampdown on buildings in the Central Business District (CBD), marking the beginning of a far-reaching campaign targeting landowners who have…
13 May 2025
- The Employment and Labour Relations Court in Kakamega has given a green light to a case filed by 17 doctors citing their unpaid salaries and alleged unfair dismissals by the county government.
13 May 2025
- Kirinyaga Woman Representative Njeri Maina has been honoured with the prestigious Voice of Reason Award at the Thamani Awards ceremony held at the KCB Leadership Centre in Nairobi.
13 May 2025
- The latest report highlights a paradigm shift from the traditional income-generating investments to value-driven luxuries.
13 May 2025
- A health crisis is looming in the country after the Kenya National Union of Nurses (KNUN) on Tuesday threatened to join a doctors' strike over unmet promises.
13 May 2025
- Ruto had told the Finnish President that all victims had been rescued on Monday.
13 May 2025
- A letter has emerged detailing Siaya governor's "respectful" requests to the Head of State.
13 May 2025
- He ruled that KFCB could also regulate amateur videos posted on social media platforms.
13 May 2025
- Hundreds of other businesses are set to face disruptions on Wednesday as the crackdown continues.