Trump akosoa Harris anavyo shughulikia usalama mpakani kati ya Marekani na Mexico
“Alikuwa ni malkia wa mpakani. Mara ghafla anasema yeye siyo tena malkia wa mpakani,” alisema. “Kamwe hakujawahi kuwa na mpaka kokote duniani ambao unafurika watu kama mpaka huu.”
Harris alipewa jukumu mwezi Machi 2021 kukabiliana na “kiini” cha wahamiaji kutoka Guatemala, Honduras na El Salvador – Amerika ya Kati inayoitwa “Northern Triangle” – lakini haikupewa jina la “border czar” au kupewa jukumu la ulinzi wa mpaka.
Kwenye barabara chafu chini ya vilima vyenye vichaka vya Arizona, Donald Trump alitumia ukuta na rundo la vyuma kulinganisha jinsi yeye alivyoudhibiti mpaka huo na hatua za mpinzani wake Mdemokrat, Makamu wa Rais Kamala Harris.
Trump aliwaleta wanawake wenye huzuni, mkuu wa polisi wa Kaunti ya Cochise na mkuu wa umoja wa Doria ya Mpakani kupeleka ujumbe wake mzito juu ya ulinzi wa mpaka katika ziara yake Alhamisi, iliyopewa kauli mbiu “Make America Safe Again” (Ifanye Marekani Iwe Salama Tena.)
Kabla ya matamshi yake, Trump alianza kwa kukosoa rekodi ya Harris kuhusu uhamiaji na usalama wa mpakani, akimuita “makamu wa rais ovyo” alipokuwa anazunguka na kuzungumza na wakazi wa eneo karibu na uzio wa mpaka. -AP
#uselection #harris #trump #voa
6 Aug 2025
- The government has already threatened to sack police officers and chiefs in some parts of the country.
6 Aug 2025
- Kiambu is among the nine counties that make up the Mount Kenya Bloc.
6 Aug 2025
- 12 counties are set to benefit heavily.
6 Aug 2025
- A woman has been found guilty of killing her lover back in 2020 in Nanyuki County.
6 Aug 2025
- Human rights activists are calling for the disbandment of the National Police Service (NPS) following damning revelations in the latest EACC corruption index, which ranks the security organ among the most corrupt institutions in the country.
6 Aug 2025
- Cabinet Secretary for Public Service Geoffrey Ruku has issued a stern warning to corrupt public officers, calling on the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) to swiftly arrest all individuals implicated in recent graft reports.
6 Aug 2025
- Former Deputy President Rigathi Gachagua has declared his support of the proposal for the United States to review Kenya's designation as a major non-North Atlantic Treaty Organization (NATO) ally.
6 Aug 2025
- Six senior officials from the Busia County Government have been arrested over allegations of misappropriating public funds through irregular procurement processes involving tenders worth Ksh.1.4 billion.
6 Aug 2025
- In a historic move to combat one of the most common sexually transmitted infections (STIs), the National Health Service (NHS) has launched the world’s first gonorrhoea vaccination programme in England, targeting individuals most at risk of infection.
6 Aug 2025
- The government has already threatened to sack police officers and chiefs in some parts of the country.
6 Aug 2025
- Ring-necked parrots, green- and yellow-fronted canaries intercepted at Lagos Airport
6 Aug 2025
- Nairobi Traffic Commandant Joseph Chirchir said roads near Moi International Sports Complex, Kasarani and Nyayo National Stadium will face full or partial closures to ease movement around the stadium.
6 Aug 2025
- Kiambu is among the nine counties that make up the Mount Kenya Bloc.