Jamii yazika miili ya waliofariki katika mafuriko jimbo la Red Sea nchini Sudan
Baadhi ya sehemu za mashariki mwa Sudan zimekumbwa na mafuriko baada ya bwawa kuvunjika na kuharibu vijiji 20 na kusababisha vifo vya watu 30.
Mvua kubwa zimesababisha mafuriko yaliyojaza bwawa la Arbaat mnamo Jumapili, kilomita 40 kaskazini mwa Port Sudan, mji ambao sasa unatumika kama makao makuu ya serikali, wanadiplomasia, mashirika ya misaada na watu waliokoseshwa makazi kutokana na vita vya miezi kadhaa kati ya jeshi na kikosi cha kijeshi cha RSF.
Umoja wa Mataifa umesema kwamba karibu watu 50,000 wameathiriwa na mafuriko, na kwamba huenda idadi hiyo inajumuisha tu watu waliokuwa wanaishi magharibi mwa bwawa hilo na kwamba si rahisi kuwafikia watu walio mashariki mwa bwawa. - Reuters
#sudan #mafuriko #vifo #maziko #uharibifu #vijiji #portsudan #rsf #jeshi #voa #voaswahili
6 Aug 2025
- The government has already threatened to sack police officers and chiefs in some parts of the country.
6 Aug 2025
- Kiambu is among the nine counties that make up the Mount Kenya Bloc.
6 Aug 2025
- 12 counties are set to benefit heavily.
6 Aug 2025
- A woman has been found guilty of killing her lover back in 2020 in Nanyuki County.
6 Aug 2025
- Human rights activists are calling for the disbandment of the National Police Service (NPS) following damning revelations in the latest EACC corruption index, which ranks the security organ among the most corrupt institutions in the country.
6 Aug 2025
- Cabinet Secretary for Public Service Geoffrey Ruku has issued a stern warning to corrupt public officers, calling on the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) to swiftly arrest all individuals implicated in recent graft reports.
6 Aug 2025
- Former Deputy President Rigathi Gachagua has declared his support of the proposal for the United States to review Kenya's designation as a major non-North Atlantic Treaty Organization (NATO) ally.
6 Aug 2025
- Six senior officials from the Busia County Government have been arrested over allegations of misappropriating public funds through irregular procurement processes involving tenders worth Ksh.1.4 billion.
6 Aug 2025
- In a historic move to combat one of the most common sexually transmitted infections (STIs), the National Health Service (NHS) has launched the world’s first gonorrhoea vaccination programme in England, targeting individuals most at risk of infection.
6 Aug 2025
- The government has already threatened to sack police officers and chiefs in some parts of the country.
6 Aug 2025
- Ring-necked parrots, green- and yellow-fronted canaries intercepted at Lagos Airport
6 Aug 2025
- Nairobi Traffic Commandant Joseph Chirchir said roads near Moi International Sports Complex, Kasarani and Nyayo National Stadium will face full or partial closures to ease movement around the stadium.
6 Aug 2025
- Kiambu is among the nine counties that make up the Mount Kenya Bloc.