- 47 views
Takriban wanafunzi-1,500 wa shule ya upili ya wavulana ya Ngoto eneo la Nzaui kaunti ya Makueni wameagizwa kwenda nyumbani baada ya kuteketeza bweni.Wanafunzi hao waliokuwa na hamaki walizua vurugu kulalamikia usimamizi mbaya, ukosefu wa maji safi, chakula na uvamizi wa kunguni. Waliteketeza bweni hilo ambalo wanafunzi-175 hulala. Hakuna chochote kilichookolewa kutoka bweni hilo. Hii ni mara ya pili kwa kisa cha moto kutokea shuleni humo mwaka huu. Juhudi za kuzungumza na usimamizi wa shule hiyo ziliambulia patupu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Shule ya Ngoto, Makueni yafungwa
- 4 Jul 2025 - The family of a Kenyan police officer who went missing while on a peacekeeping mission in Haiti has moved to court, accusing the government of withholding crucial information about his fate.
- 4 Jul 2025 - Kenyans have been urged to take full advantage of the newly launched Deposit Assistance Initiative, aimed at making homeownership more accessible to all.
- 4 Jul 2025 - He says he will fund it with his own money.
- 4 Jul 2025 - Machakos County clinicians have issued a seven-day strike notice after talks with the county government collapsed.
- 4 Jul 2025 - The convoy was busy in their anti-government rallies when the event happened.
- 4 Jul 2025 - Kenya approves trials for genetically modified vaccines to combat livestock diseases
- 4 Jul 2025 - Stop attacks on Kindiki: Njuri Ncheke elders issue stern warning to Gachagua
- 4 Jul 2025 - A man was on Friday arraigned at the Milimani Law Courts for allegedly defrauding another individual of Ksh.4.1 million in a fraudulent car sale deal.
- 4 Jul 2025 - Gen Zs have recently been described as the 'unofficial Opposition.'
- 4 Jul 2025 - He was found guilty or the rape and murder of one girl; he has been linked to five other murder cases.