- 36 views
Ghasia za kijamii zilizozuka katika kijiji kimoja nchini Ethiopia kwenye mpaka kati ya nchi hiyo na Kenya zilisambaa na kuathiri eneo la Banisa katika kaunti ya Mandera. Kufuatia ghasia hizo zilizosababisha maafa, viongozi wa kaunti ya Mandera waliandaa kikao na wakazi ambapo umuhimu wa kudumisha amani na uwiano ulikaririwa. Naibu kamishna wa kaunti ndogo ya Banisa Hesbon Kayesi, aliwahimiza wakazi kukumbatia utangamano na akawataka wazee wa jamii kuwa katika mstari wa mbele kuhakikisha utulivu unadumishwa.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Viongozi Banisa, Mandera wakutana na kuhimiza jamii kudumisha utulivu
- 4 Jul 2025 - The family of a Kenyan police officer who went missing while on a peacekeeping mission in Haiti has moved to court, accusing the government of withholding crucial information about his fate.
- 4 Jul 2025 - Kenyans have been urged to take full advantage of the newly launched Deposit Assistance Initiative, aimed at making homeownership more accessible to all.
- 4 Jul 2025 - Machakos County clinicians have issued a seven-day strike notice after talks with the county government collapsed.
- 4 Jul 2025 - The convoy was busy in their anti-government rallies when the event happened.
- 4 Jul 2025 - A man was on Friday arraigned at the Milimani Law Courts for allegedly defrauding another individual of Ksh.4.1 million in a fraudulent car sale deal.
- 4 Jul 2025 - Gen Zs have recently been described as the 'unofficial Opposition.'
- 4 Jul 2025 - He was found guilty or the rape and murder of one girl; he has been linked to five other murder cases.
- 4 Jul 2025 - Wanga emphasised need for accountability and justice, calling for those responsible to face the full force of the law.
- 4 Jul 2025 - The move comes ahead of a deadline that may see much higher import taxes on goods coming into the US.
- 4 Jul 2025 - Her body was found by her grandmother hanging inside their home.