Wapalestina kati yao watoto wakishiriki maziko ya waliofariki Israel iliposhambulia
Waombolezaji walisindikiza jeneza la mtu mmoja mwenye umri wa miaka 62 ambaye aliuwawa na majeshi ya Israeli nyumbani kwake wakati mashambulizi yalipofanyika huko katika mji wa Tulkarm eneo linalokaliwa kwa mabavu huko Ukingo wa Magharibi.
Kulingana na walioshuhudia mauaji hayo, Ayed abu Hija aliuwawa na mwanajeshi wa Israeli aliyemvizia na kumpiga risasi akiwa nyumbani kwake wakati mashambulizi yakiendelea.
Waombolezaji Wakipalestina pia walibeba mfano wa jeneza kwa kumuenzi Muhhamad Jabber, aliyekuwa maarufu kwa jina la Abu Shujaa, mkuu wa mitandao ya wapiganaji katika kambi jirani ya wakimbizi ya Nur Shams, ambaye aliuwawa na jeshi la Israeli Alhamisi (August 29) huko Tulkarm.
Jeshi la Israeli lilianzisha moja ya mashambulizi makubwa katika eneo linalokaliwa kwa mabavu na Israeli kwa miezi kadhaa sasa Jumatano (August 28), na kuuwa watu 19, wakiwemo makamanda wa Hamas na Islamic Jihad.
Israel imekuwa ikitekeleza kile imekitaja kama operesheni ya kijeshi karibu kila siku katika Ukingo wa Magharibi, tangu Oktoba 7, wanamgambo wa Hamas walipofanya shambulizi kutokea Gaza na kusababisha vita vikali vinavyoendelea.
Israel imesema kwamba operesheni yake ya kijeshi ina lengo la kuwamaliza nguvu wanamgambo wa Hamas na kuzuia mashambulizi dhidi ya raia wake
- Reuters
#gaza #ukandawagaza #mateka #israeli #jeshi #voa #voaswahili #qaidfarhanalkadi #hamas #palestina #wapalestina #makanda #Islamicjihad
6 Aug 2025
- The government has already threatened to sack police officers and chiefs in some parts of the country.
6 Aug 2025
- Kiambu is among the nine counties that make up the Mount Kenya Bloc.
6 Aug 2025
- 12 counties are set to benefit heavily.
6 Aug 2025
- A woman has been found guilty of killing her lover back in 2020 in Nanyuki County.
6 Aug 2025
- Human rights activists are calling for the disbandment of the National Police Service (NPS) following damning revelations in the latest EACC corruption index, which ranks the security organ among the most corrupt institutions in the country.
6 Aug 2025
- Cabinet Secretary for Public Service Geoffrey Ruku has issued a stern warning to corrupt public officers, calling on the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) to swiftly arrest all individuals implicated in recent graft reports.
6 Aug 2025
- Former Deputy President Rigathi Gachagua has declared his support of the proposal for the United States to review Kenya's designation as a major non-North Atlantic Treaty Organization (NATO) ally.
6 Aug 2025
- Six senior officials from the Busia County Government have been arrested over allegations of misappropriating public funds through irregular procurement processes involving tenders worth Ksh.1.4 billion.
6 Aug 2025
- In a historic move to combat one of the most common sexually transmitted infections (STIs), the National Health Service (NHS) has launched the world’s first gonorrhoea vaccination programme in England, targeting individuals most at risk of infection.
6 Aug 2025
- The government has already threatened to sack police officers and chiefs in some parts of the country.
6 Aug 2025
- Ring-necked parrots, green- and yellow-fronted canaries intercepted at Lagos Airport
6 Aug 2025
- Nairobi Traffic Commandant Joseph Chirchir said roads near Moi International Sports Complex, Kasarani and Nyayo National Stadium will face full or partial closures to ease movement around the stadium.
6 Aug 2025
- Kiambu is among the nine counties that make up the Mount Kenya Bloc.