- 233 views
Changamoto zinazotokana na ulezi wa watoto walemavu husababisha wazazi wengi kukata tamaa na kuwatelekeza Wana wao. Lakini Hali ni tofauti Kwa Grace Njuguna ambaye amejitolea kuwasaidia watoto wanaoishi Na tatizo la ugonjwa wa kupooza ubongo na homa ya uti wa mgongo. Zaidi ya watoto 40 wanaotoka vitongojini katika mji wa Nakuru wamepata mahala salama katika mikono ya ajuza huyo mwenye umri WA miaka 80. Hebu tusikize simulizi ya safari yake iliyochochowa na mjukuu wake takriban Miaka 9 iliyopita.
| MWANAMKE BOMBA | Grace Njuguna anawasaidia wagonjwa wa Cerebral Palsy
- 2 Jun 2025 - Marijuana worth Ksh.10.5 million has been seized at the Elle Bor area near the Kenya-Ethiopia border.
- 2 Jun 2025 - A new treatment nearly halves the risk of disease progression or death from a less common form of breast cancer that hasn't seen major drug advances in over a decade.
- 2 Jun 2025 - Senate Majority Leader and Kericho Senator, Aaron Cheruiyot has defended President William Ruto on accusations of involvement in arrests.
- 2 Jun 2025 - Ethiopian Airlines is looking to order at least 20 regional or small narrowbody jets as it moves to expand its domestic fleet and replace some ageing aircraft.
- 2 Jun 2025 - It is Islam's holiest pilgrimage, but the hajj to Mecca in Saudi Arabia, which begins on Wednesday, has in recent decades been plagued by deadly disasters, from stampedes to militant attacks.
- 2 Jun 2025 - The governor publicly castigated the error.
- 2 Jun 2025 - An expeditious manhunt following the fatal shooting of a police officer in Nakuru has led to the arrest of a suspected gang members linked to the murder.
- 2 Jun 2025 - Several people were left with injuries after an incident with the authorities.
- 2 Jun 2025 - Why financial literacy is key to athletes' success
- 2 Jun 2025 - Government suspends tobacco licences in crackdown on youth nicotine use