- 197 views
Timu ya taifa ya Kenya ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ilifanya mazoezi yao ya mwisho kabla ya kuondoka kwenda Uhispania siku ya Alhamisi. Junior Starlets watapiga kambi nchini Uhispania kwa siku 11 kabla ya kuelekea Jamhuri ya Dominika mnamo Oktoba mosi. Kocha Mildred Cheche anasema kambi hiyo ya Uhispania inajiri wakati muafaka baada ya benchi la ufundi kuimarisha maeneo kadhaa ambayo yalikuwa na upungufu wakati wa mechi za kufuzu kwa kombe la dunia. Timu hiyo itakuwa nchini Uhispania kwa siku 11 ambapo watakuwa na kambi ya mazoezi na kucheza mechi kadhaa za kirafiki na timu za Uhispania. Kambi hiyo pia itatumika kuimarisha ujasiri wa wachezaji kabla ya kibarua kikubwa katika Jamhuri ya Dominika. Timu ya wanawake chini ya umri wa miaka 17 ni timu ya kwanza ya Kenya kufuzu kwa kombe lolote la dunia la FIFA.
Junior Starlets kufanyia matayarisho ya mwiaho kwa Kombe la Dunia nchini Uhispania
- 2 Jun 2025 - A new treatment nearly halves the risk of disease progression or death from a less common form of breast cancer that hasn't seen major drug advances in over a decade.
- 2 Jun 2025 - Senate Majority Leader and Kericho Senator, Aaron Cheruiyot has defended President William Ruto on accusations of involvement in arrests.
- 2 Jun 2025 - Ethiopian Airlines is looking to order at least 20 regional or small narrowbody jets as it moves to expand its domestic fleet and replace some ageing aircraft.
- 2 Jun 2025 - It is Islam's holiest pilgrimage, but the hajj to Mecca in Saudi Arabia, which begins on Wednesday, has in recent decades been plagued by deadly disasters, from stampedes to militant attacks.
- 2 Jun 2025 - An expeditious manhunt following the fatal shooting of a police officer in Nakuru has led to the arrest of a suspected gang members linked to the murder.
- 2 Jun 2025 - Leaders and family demand justice after Father Bett’s killing in Kerio Valley
- 2 Jun 2025 - The town has had a continuous water shortage crisis for a long time
- 2 Jun 2025 - Police and the government have not yet commented on the detention of the mother of two
- 2 Jun 2025 - The activist was arrested for developing an online website that asked Kenyans to object to the Finance Bill 2025
- 2 Jun 2025 - Governor Wanga says event propelled region, upgraded Raila Stadium to national standard