- 52 views
Ujumbe wa amani kutoka nchi jirani ya Somali, viongozi na baraza la wazee wa kaunti ya Mandera wanawahimiza wakazi wa eneo la kaskazini mwa Kenya kuimarisha amani miongoni mwa jamii zinazoishi karibu na mipaka ya Ethiopia na Somalia kwa manufaa ya raia wa mataifa hayo matatu. Wakiongea jijini Nairobi wakati wa maadhimisho ya siku ya amani ulimwenguni, viongozi hao waliwahimiza raia wa maeneo husika kushirikiana na maafisa wa usalama ili kuwawezesha kukabiliana na visa vya mashambulizi na uhalifu ambavyo vimeshuhudiwa katika eneo hili katika siku za hivi majuzi. Wito huo umetolewa majuma mawili baada ya watu wanane kuuawa katika eneo la Banisa, kaunti ya Mandera karibu na mpaka kati ya Kenya na Ethiopia.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Jamii mipakani zahimizwa kudumisha amani
- 1 May 2025 - Ukraine expects to sign a much-anticipated minerals deal with the United States in "the next 24 hours", Prime Minister Denys Shmygal said Wednesday, as both sides finalised details.
- 1 May 2025 - Israeli Defence Minister Israel Katz ordered troops to deploy on Wednesday to support firefighters battling rapidly spreading wildfires near Jerusalem, calling the situation a "national emergency".
- 1 May 2025 - US President Donald Trump said Wednesday he was considering legal action against the New York Times, in his latest attack on a major media outlet.
- 1 May 2025 - The government is revving up revenue collection efforts with increased pursuit of businesses and the creative economy to meet its tax targets. It has warned that a significant number of companies in the country risk losing their registration permits,…
- 1 May 2025 - VC with nine lives as Prof Paul Wainaina returns to KU
- 1 May 2025 - Workers suffer as Atwoli 'too young' to retire at 75
- 1 May 2025 - Intrigues on Gachagua's party and fate of allied MPs
- 1 May 2025 - Atwoli: A political wheeler-dealer disguised as the workers' defender
- 1 May 2025 - Cost of living: How salaries have changed since last Labour Day
- 1 May 2025 - Trapped abroad, silenced at home: the agony of job-seeking Kenyans