- 399 views
Maafisa wa utawala katika wizara ya usalama wa kitaifa wamehusishwa katika mpango wa usajili wa WaKenya katika bima mpya ya afya ya jamii SHA kabla ya uzinduzi wake rasmi wiki ijayo. Maafisa hao watatumia ile mbinu iliyotumika wakati wa usajili wa wakulima milioni 6 katika mpango wa mbolea ya ruzuku. Ushirikiano huu kati ya Wizara ya Afya na usalama unajiri huku serikali ikijiandaa kuanza usajili wa zaidi ya watu milioni 30 katika awamu ya kwanza ya utekelezaji wa mpango huu wa afya kwa wote.
Maafisa kutoka wizara ya usalama kuhusishwa katika mpango wa usajili wa wakenya kwa bima ya SHA
- 5 Jul 2025 - Syrian rescuers were evacuating residential areas in the coastal Latakia province because of major forest fires, authorities said on Friday.
- 5 Jul 2025 - More than 500 people have been killed in the vicinity of the US- and Israel-backed Gaza Humanitarian Foundation's sites since late May, the United Nations said Friday.
- 5 Jul 2025 - Burkina Faso has withdrawn the licences of four foreign NGOs to operate in the junta-led country and suspended two other associations, according to decrees seen by AFP on Friday.
- 5 Jul 2025 - A sombre wave of grief and outrage swept through mourners gathered at Nyawango Primary School for the burial of Albert Ojwang, a high school teacher and blogger whose controversial death has ignited national outcry and calls for justice. Ojwang’s coffin…
- 5 Jul 2025 - The East Africa Hub Director for Natural Justice Elizabeth Kariuki has criticised the increasing number of secretive deals signed between foreign companies and local communities in Kenya involving the country’s natural resources, calling them “ridiculous…
- 5 Jul 2025 - The family of Albert Ojwang has now appealed to Kenyans to continue with the push for justice for the slain teacher.
- 5 Jul 2025 - Kenya is staring at a looming constitutional crisis that threatens to derail the 2027 General Election. Lawyers are warning that the entire results could be nullified by the courts if the General Election is conducted before the Independent Electoral and…
- 5 Jul 2025 - Two police officers have been convicted of murder by the Eldoret High Court for the torture and subsequent killing of Denis Lusava, whose body was dumped in River Nzoia in October 2022.
- 5 Jul 2025 - Did you know that 89 per cent of Kenya’s national territory is drylands and supports about 38 per cent of the population? Another troubling fact? East Africa’s drylands are grappling with climate change impacts, food insecurity and governance challenges…
- 5 Jul 2025 - Deputy President Prof. Kithure Kindiki has defended President William Ruto and the Kenya Kwanza administration against opposition criticism, asserting that the government remains focused on delivering meaningful development and economic empowerment to…