- 53 views
Chama cha mawakili nchini kimewasilisha kesi mahakamani kikiwashtaki kamanda wa polisi Nairobi Adamson Bungei na Inspekta Jenerali wa polisi Douglas Kanja kwa kuwatuma polisi wasiovalia sare rasmi na kuficha sura zao wakati wanaharakati walipokuwa wanawasilisha ombi katika ofisi ya rais ya harambee, LSK sasa inashinikiza mahakama kuwapata na hatia adamson bungei na inspekta jenerali wa polisi douglas kanja kwa kuwatuma maafisa wa polsii walioficha suira zao wakisema kwamba huu ni ukiukaji wa amri ya mahakama uliotelwa na jaji bahati mwamuye tarehe 14 mwezi agosti.lsk inasema kwamba haikufaa polisi kuficha sura zao na kuficha nambari zao za usajili wakati wa kuwazuia wanaharakati waliokuwa wanawasilisha ombi katika ofisi ya rais. Sasa LSK inataka inspekta wa polisi douglas kanja na kamanda polisi Adamson Bungei waaandike barua chini ya siku 14 kuomba msamahama na kukiri kwamba hawatarudia hilo la sivyo wafungwe gerezani kwa kipindi cha miezi sita . __
Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'
*About TV47* 'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES. __ For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047. __
Connect with us:
Website: https://www.tv47.digital/ Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE Twitter: https://twitter.com/tv47news Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/ TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke Telegram: https://t.me/tv47_ke WhatsApp: 0797 047 047 __
LSK inataka Inpekta Jenerali na kamanda wa Nairobi Bungei waombe msamaha chini ya siku 14
- 5 Jul 2025 - Syrian rescuers were evacuating residential areas in the coastal Latakia province because of major forest fires, authorities said on Friday.
- 5 Jul 2025 - More than 500 people have been killed in the vicinity of the US- and Israel-backed Gaza Humanitarian Foundation's sites since late May, the United Nations said Friday.
- 5 Jul 2025 - Burkina Faso has withdrawn the licences of four foreign NGOs to operate in the junta-led country and suspended two other associations, according to decrees seen by AFP on Friday.
- 5 Jul 2025 - A sombre wave of grief and outrage swept through mourners gathered at Nyawango Primary School for the burial of Albert Ojwang, a high school teacher and blogger whose controversial death has ignited national outcry and calls for justice. Ojwang’s coffin…
- 5 Jul 2025 - The East Africa Hub Director for Natural Justice Elizabeth Kariuki has criticised the increasing number of secretive deals signed between foreign companies and local communities in Kenya involving the country’s natural resources, calling them “ridiculous…
- 5 Jul 2025 - The family of Albert Ojwang has now appealed to Kenyans to continue with the push for justice for the slain teacher.
- 5 Jul 2025 - Kenya is staring at a looming constitutional crisis that threatens to derail the 2027 General Election. Lawyers are warning that the entire results could be nullified by the courts if the General Election is conducted before the Independent Electoral and…
- 5 Jul 2025 - Two police officers have been convicted of murder by the Eldoret High Court for the torture and subsequent killing of Denis Lusava, whose body was dumped in River Nzoia in October 2022.
- 5 Jul 2025 - Did you know that 89 per cent of Kenya’s national territory is drylands and supports about 38 per cent of the population? Another troubling fact? East Africa’s drylands are grappling with climate change impacts, food insecurity and governance challenges…
- 5 Jul 2025 - Deputy President Prof. Kithure Kindiki has defended President William Ruto and the Kenya Kwanza administration against opposition criticism, asserting that the government remains focused on delivering meaningful development and economic empowerment to…