Idadi ya wapiga kura wanawake imeendelea kuwa juu zaidi kuliko wanaume katika uchaguzi wa rais
Idadi ya wapiga kura wanawake imekuwa ni juu zaidi kuliko kwa wanaume katika uchaguzi wa rais Marekani tangu mwaka 1984. Kwa mujibu wa Center for Women in American Politics, wanawake wamekipigia kura chama cha Democratic dhidi ya Republican katika kila uchaguzi wa rais tangu mwaka 1992.
William Frey, Taasisi ya Brookings anaeleza: “Siyo tu wanawake wanajitokeza kwa wingi zaidi kuliko wanaume, lakini wao wanaishi muda mrefu zaidi kuliko wanaume, kwahiyo wale walio katika makundi ya wazee watakuwa na uwakilishi mkubwa zaidi kutoka kwa wanawake.”
William Frey wa taasisi ya Brookings anaelezea takwimu za karibuni za idadi ya watu Marekani na kuonyesha namna kura ya wanawake itakavyokuwa mwaka huu wa 2024. Anasema mwenendo unakipendelea chama cha Democratic, kwa kiasi kwasababu wapiga kura wengi hivi leo ni wanawake ambao wahitimu kutoka katika vyuo.
#wanawake #uchaguziwarais #marekani #wazungu #waafrika #republikans #demokratiki
18 Jun 2025
- The disruption will affect motorists heading to Nairobi.
18 Jun 2025
- The students have been urged to utilise the open portal to apply for loans.
18 Jun 2025
- Petrol prices increased in the latest review, with diesel and kerosene slightly dropping.
18 Jun 2025
- A 34-year-old fisherman is nursing injuries at Homa Bay County Referral Hospital after police officers allegedly tortured him in a cell at Ringiti police post in Suba Central.
18 Jun 2025
- Controversy continues to surround President William Ruto’s flagship financial inclusion initiative, famously known as the Hustler Fund, after it emerged that the State Department for Cooperatives Development cannot account for Ksh.8 billion in the…
18 Jun 2025
- The National Police Service (NPS) has identified and interdicted two officers linked to the shooting of an unarmed civilian during a disturbing incident that occurred on Tuesday.
18 Jun 2025
- Even as the streets took a precariously dangerous turn, with saw armed goons poured from all corners in order to violently counter surging numbers of protesters, young Kenyans have remained defiant in the face of death and barbarity, solidly driven by…
18 Jun 2025
- Boniface Kariuki, the mask vendor who was shot by a police officer at close range during Tuesday's protests held in Nairobi's Central Business District (CBD), is in critical condition following a complex surgery conducted by a team of Kenyatta National…
18 Jun 2025
- Youth leaders from the Democracy for the Citizens Party (DCP) have strongly condemned what they describe as a rising wave of police brutality and state violence, following a series of protests that have rocked the country over the past week.
18 Jun 2025
- The National Police Service (NPS) has moved to clarify a viral video circulating on social media showing a uniformed police officer holding laptops in the Nairobi Central Business District (CBD) during Tuesday’s protests.
18 Jun 2025
- The National Police Service (NPS) has moved to clarify a viral video circulating on social media showing a uniformed police officer holding laptops in the Nairobi Central Business District (CBD) during Tuesday’s protests.
18 Jun 2025
- The Ministry of Agriculture and Livestock Development is spearheading a digital transformation as it prepares for the mandatory rollout of the e-Government Procurement (e-GP) portal by July 1, 2025.
18 Jun 2025
- A Kenyatta University student who was shot in the neck during Tuesday's Nairobi protests has defiantly blasted President William Ruto for presiding over state-sponsored violence.