- 122 viewsUchaguzi wa Marekani ni miongoni mwa chaguzi zenye gharama kubwa zaidi duniani. Uchaguzi mkuu wa Uingereza mwaka 2019, matumizi ya kisiasa yalikuwa mara 24 chini kuliko ya uchaguzi wa Marekani 2020. Wakati wa uchaguzi wa Australia mwaka 2019, vyama vya siasa vilitumia chini ya nusu ya vyama vya siasa vya Marekani vilivyotumia kwa kila mtu mwaka uliofuata. India kihistoria ilikuwa na uchaguzi wa gharama sana mwaka 2019. Kiwango hicho kilizidi matumizi ya wakati wa uchaguzi wa Marekani mwaka 2016, lakini hakikufikia gharama za uchaguzi wa Marekani 2020. Mwaka 2020, zaidi ya dola bilioni16 zilitumika katika uchaguzi wa rais na wabunge. Hiyo inajumuisha pesa zote zilizotumiwa na wagombea urais, wagombea wa seneti na wawakilishi, vyama vya siasa na makundi huru yanajaribu kufanya ushawishi katika uchaguzi. Wagombea wanatumia pesa kwenye nini? Kiwango kikubwa kinakwenda kwenye matangazo. Aina nyingine za matumizi ni pamoja na gharama za uendeshaji, mishahara ya wafanyakazi wa kampeni, na jitihada za uchangishaji pesa ili kupata pesa zaidi. Je, mgombea tajiri sana anaweza kushinda? Si wakati wote, lakini mara nyingi. Wakati wa uchaguzi wa katikati ya muhula Marekani wa 2022, asilimia 93 ya wagombea katika baraza la wawakilishi walitumia pesa nyingi zaidi na asilimia 82 ya wagombea waliotumia peza nyingi katika seneti walishinda. Mara baada ya mgombea kushinda uchaguzi, utegemezi wa pesa hauishi. Maafisa waliochaguliwa mara kwa mara hutumia sehemu ya siku zao kuchangisha pesa kwa ajili ya kampeni ijayo. #uchaguzimarekani2024 #gharama #matumizi #seneti #wawakilishi #voa #voaswahili #warepublikan #wademokratiki #dunia
Kulinganisha gharama za uchaguzi wa Marekani na zile za nchi nyingine
- 18 Jun 2025 - A 34-year-old fisherman is nursing injuries at Homa Bay County Referral Hospital after police officers allegedly tortured him in a cell at Ringiti police post in Suba Central.
- 18 Jun 2025 - Controversy continues to surround President William Ruto’s flagship financial inclusion initiative, famously known as the Hustler Fund, after it emerged that the State Department for Cooperatives Development cannot account for Ksh.8 billion in the…
- » Klinzy Barasa Masinde, Duncan Kiprono: Police officers suspended over shooting of hawker Boniface Kariuki18 Jun 2025 - The National Police Service (NPS) has identified and interdicted two officers linked to the shooting of an unarmed civilian during a disturbing incident that occurred on Tuesday.
- » ‘You can’t kill us all…’ Defiant Kenyans vow to keep protesting in the face of death by state actors18 Jun 2025 - Even as the streets took a precariously dangerous turn, with saw armed goons poured from all corners in order to violently counter surging numbers of protesters, young Kenyans have remained defiant in the face of death and barbarity, solidly driven by…
- 18 Jun 2025 - Boniface Kariuki, the mask vendor who was shot by a police officer at close range during Tuesday's protests held in Nairobi's Central Business District (CBD), is in critical condition following a complex surgery conducted by a team of Kenyatta National…
- 18 Jun 2025 - Youth leaders from the Democracy for the Citizens Party (DCP) have strongly condemned what they describe as a rising wave of police brutality and state violence, following a series of protests that have rocked the country over the past week.
- 18 Jun 2025 - The National Police Service (NPS) has moved to clarify a viral video circulating on social media showing a uniformed police officer holding laptops in the Nairobi Central Business District (CBD) during Tuesday’s protests.
- 18 Jun 2025 - The National Police Service (NPS) has moved to clarify a viral video circulating on social media showing a uniformed police officer holding laptops in the Nairobi Central Business District (CBD) during Tuesday’s protests.
- 18 Jun 2025 - The Ministry of Agriculture and Livestock Development is spearheading a digital transformation as it prepares for the mandatory rollout of the e-Government Procurement (e-GP) portal by July 1, 2025.
- » Philip Oketch: KU student shot in the neck during protests sends defiant message to President Ruto18 Jun 2025 - A Kenyatta University student who was shot in the neck during Tuesday's Nairobi protests has defiantly blasted President William Ruto for presiding over state-sponsored violence.