Takriban watu 51 wafariki kutokana na mafuriko Uhispania
Wizara ya ulinzi na picha za polisi zimewaonyesha wafanyakazi wa huduma za dharura wakikagua nyumba zilizokumbwa na mafuriko na kuwaokoa watu kwenye mji wa Utiel.
Dazani za video zilizobandikwa kwenye mitandao ya kijamii usiku zimewaonyesha watu wakiwa wamekwama kwenye maji ya mafuriko, wengine walipanda kwenye miti kuepuka kusombwa na maji.
Carlos Mazon, mkuu wa mji wa Valencia aliwaambia waandishi wa habari baadhi ya watu bado wametengwa katika maeneo ambayo hayafikiki.
Hata hivyo huduma za dharura katika eneo hilo zimewasihi raia kuepuka safari za barabarani na kufuatilia taarifa nyingine kutoka vyanzo rasmi. - Reuters
18 Jun 2025
- The changes take effect in less than two weeks.
18 Jun 2025
- The two were involved in a back-and-forth on X.
18 Jun 2025
- Babu vowed to take action against the Governor.
18 Jun 2025
- The crash, which occurred around 6:00 p.m. and involved three vehicles, injured more than 50 people, including several Moi University students who were on a school bus.
18 Jun 2025
- Calm has returned to the Nyamira County Assembly after a leadership dispute gripped the devolved unit for over ten months.
18 Jun 2025
- LSK president Faith Odhiambo has called for the arrest of the colleague who was with the police officer captured shooting a face mask vendor in the head during Tuesday's pro-Albert Ojwang's protests in Kenya's capital.
18 Jun 2025
- The crash of an Air India Boeing (BA.N) 787 Dreamliner seconds after takeoff from Ahmedabad city, killing all but one of the 242 people on board, is the world's worst aviation disaster in a decade.
18 Jun 2025
- Police in Nairobi say they have arrested a man on suspicion of potential involvement in terror-related activities.
18 Jun 2025
- The US president insists Washington has played no part in ally Israel's bombing campaign, but also warned Iran his patience is wearing thin as the conflict enters a sixth day.
18 Jun 2025
- Nandi governor Stephen Sang has called on the critics of Kenya Kwanza government to keep cool as it fixes the messes that they created while in government.
18 Jun 2025
- Four human rights activists arrested on Tuesday in Mombasa for participating in a protest demanding justice for the late teacher and blogger Albert Ojwang’ have been released on cash bail of Ksh.5,000 each.
18 Jun 2025
- The party held a national delegates' convention in Embu on July 16, but Kiraitu was absent.
18 Jun 2025
- To use it on group chats, you tag Meta AI by typing “@Meta AI” followed by your question or task.