- 456 views
Afisa mmoja wa polisi aliyejeruhiwa kifuani kwa jiwe lililokuwa limerushwa na waandamanaji mjini Kisumu ameaga dunia. Ben Oduor aliyekuwa akihudumu katika kituo cha polisi cha Nyamira amefariki mapema leo alipokuwa akitibiwa katika chumba cha wagonjwa mahututi katika hospitali ya Aga Khan. Wakati huohuo baadhi ya wafanyibiashara Kisumu na Nairobi, wanakadiria hasara ya mamilioni ya pesa baada ya mali zao kuporwa wakati wa maandamano.
Afisa wa polisi aliyejeruhiwa na waandamanaji mjini Kisumu ameaga dunia
- 18 May 2024 - Outspoken lawyer Miguna Miguna has shared his recovery journey after sustaining a minor leg injury.
- 18 May 2024 - Police in Ugunja, Siaya County are investigating the death of a 35-year-old man whose body was found hanging in his rented house within Ugunja town on Saturday morning.
- 18 May 2024 - Nominated Senator Crystal Asige has called on the government to include people living with disabilities in policy formulation in matters of transport and mobility.
- 18 May 2024 - The PS also issued an advisory to applicants on what they need to do during the week.
- 18 May 2024 - Several people have been injured after two factions clashed over a market project in Thika. Supporters of Thika MP Alice Ng’ang’a and Kamenu ward MCA Peter Mburu faced off over the construction of the Kiganjo market within Kamenu ward with both leaders…
- 18 May 2024 - Joe Biden's Democratic Party on Friday accused House Speaker Mike Johnson of disrespecting Africa.
- 18 May 2024 - Puzzle of 2,000 absentee pupils in flood-ravaged Mai Mahiu school
- 18 May 2024 - Governor Kihika, CEO clash over closure of War Memorial Hospital
- 18 May 2024 - Papaya is an incredibly healthy tropical fruit
- 18 May 2024 - The United Democratic Alliance (UDA) party is conducting its second phase of grassroots election in all the 40 wards within Homa Bay County today (Saturday).