Skip to main content
Skip to main content

Afisa wa polisi atembea kilomita 180 kuhamasisha umma Nyamira

  • | Citizen TV
    949 views
    Duration: 1:48
    Afisa mmoja wa polisi kutoka kaunti ya nyamira ameanza matembezi ya amani ya kilomita 180 yanayoitwa “community policing peace walk 2026,” yatakayochukua muda wa siku kumi , kwa lengo la kuimarisha uhusiano kati ya umma na polisi.